Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia moyo
Mithali 27 : 19
19 Kama uso ufananavyo na uso katika maji; Kadhalika moyo wa mtu na mwenzake.
1 Wakorintho 6 : 19 – 20
19 ⑲ Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;
20 ⑳ maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu.
Leave a Reply