Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mole
Mambo ya Walawi 11 : 30
30 ⑫ na guruguru kenge, mjusi, goromoe na lumbwi.
Isaya 2 : 20
20 Siku hiyo kila mtu atazitupilia mbali sanamu zake za fedha, na sanamu zake za dhahabu, walizojitengenezea ili kuziabudu, kwa fuko na popo;
Leave a Reply