Biblia inasema nini kuhusu mmishonari – Mistari yote ya Biblia kuhusu mmishonari

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mmishonari

Marko 16 : 15 – 16
15 ① Akawaambia, Nendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
16 ② Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Matendo 13 : 47
47 Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *