Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mmishonari
Marko 16 : 15 – 16
15 ① Akawaambia, Nendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
16 ② Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Matendo 13 : 47
47 Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
Leave a Reply