Biblia inasema nini kuhusu Mikate – Mistari yote ya Biblia kuhusu Mikate

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mikate

Mathayo 14 : 21
21 Nao waliokula walikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Mathayo 16 : 9
9 ⑧ Hamjafahamu bado, wala hamkumbuki ile mikate mitano kwa wale elfu tano, na vikapu vingapi mlivyoviokota?

Luka 9 : 17
17 Wakala, wakashiba wote; na katika vile vipande vilivyowabakia walikusanya vikapu kumi na viwili.

Mathayo 15 : 38
38 Nao waliokula walikuwa wanaume elfu nne, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *