Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mikate
Mathayo 14 : 21
21 Nao waliokula walikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.
Mathayo 16 : 9
9 ⑧ Hamjafahamu bado, wala hamkumbuki ile mikate mitano kwa wale elfu tano, na vikapu vingapi mlivyoviokota?
Luka 9 : 17
17 Wakala, wakashiba wote; na katika vile vipande vilivyowabakia walikusanya vikapu kumi na viwili.
Mathayo 15 : 38
38 Nao waliokula walikuwa wanaume elfu nne, bila kuhesabu wanawake na watoto.
Leave a Reply