Biblia inasema nini kuhusu Miji ya hazina – Mistari yote ya Biblia kuhusu Miji ya hazina

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Miji ya hazina

Kutoka 1 : 11
11 Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.

1 Wafalme 9 : 19
19 na miji yote ya hazina iliyokuwa yake Sulemani; na miji ya magari yake, na miji ya watu wake wapandao farasi, na kila alichopenda kujenga Sulemani huko Yerusalemu, na katika Lebanoni, na katika nchi yote ya mamlaka yake.

2 Mambo ya Nyakati 8 : 4
4 Akaujenga Tadmori wa nyikani, na miji yote ya hazina, aliyoijenga katika Hamathi.

2 Mambo ya Nyakati 8 : 6
6 na Baalathi, na miji yote ya hazina Sulemani aliyokuwa nayo, na miji yote ya magari yake, na miji ya wapanda farasi wake, na ya anasa yote aliyopenda Sulemani kujenga humo Yerusalemu, na katika Lebanoni, na katika nchi yote ya mamlaka yake.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *