Biblia inasema nini kuhusu miamba – Mistari yote ya Biblia kuhusu miamba

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia miamba

Zaburi 18 : 2
2 ⑧ BWANA ni jabali langu, na boma langu, na mwokozi wangu, Mungu wangu, mwamba wangu ninayemkimbilia, Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.

Zaburi 144 : 1
1 ② Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Aifundishaye mikono yangu vita, Na vidole vyangu kupigana.

2 Samweli 22 : 32
32 ⑪ Maana ni nani aliye Mungu, ila BWANA? Ni nani aliye mwamba, ila Mungu wetu?

Mathayo 16 : 18
18 ⑯ Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.

Ufunuo 21 : 11
11 ⑩ ukiwa na utukufu wa Mungu, na mwangaza wake ulikuwa mfano wa kito chenye thamani nyingi kama kito cha yaspi, safi kama bilauri;

1 Samweli 2 : 2
2 Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu.

Kumbukumbu la Torati 32 : 18
18 Humkumbuki Mwamba aliyekuzaa, Mungu aliyekuzaa umemsahau.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *