Biblia inasema nini kuhusu Mfuko – Mistari yote ya Biblia kuhusu Mfuko

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mfuko

Kumbukumbu la Torati 25 : 13
13 Usiwe na mawe ya kupimia mbalimbali, kubwa na dogo, katika mfuko wako.

2 Wafalme 5 : 23
23 Naamani akasema, Uwe radhi, ukatwae talanta mbili. Akamsihi, akafunga talanta mbili za fedha ndani ya mifuko miwili, na mavazi mawili, akawatwika watumishi wake wawili; nao wakatangulia mbele yake wakiwa wameyabeba.

Mathayo 10 : 10
10 wala mkoba wa safari, wala kanzu mbili, wala viatu, wala fimbo; maana mfanyakazi astahili posho yake.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *