Biblia inasema nini kuhusu Mfarakano – Mistari yote ya Biblia kuhusu Mfarakano

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mfarakano

1 Wakorintho 1 : 13
13 Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulubiwa kwa ajili yenu? Au je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?

1 Wakorintho 3 : 4
4 ⑮ Maana hapo mtu mmoja asemapo, Mimi ni wa Paulo; na mwingine, Mimi ni wa Apolo, je! Ninyi si wanadamu?

1 Wakorintho 11 : 19
19 ⑬ kwa maana lazima kuwapo na uzushi kwenu, ili waliokubaliwa wawe dhahiri kwenu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *