Biblia inasema nini kuhusu Mesha – Mistari yote ya Biblia kuhusu Mesha

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mesha

2 Wafalme 3 : 5
5 ④ Lakini ikawa, Ahabu alipokufa, mfalme wa Moabu akamwasi mfalme wa Israeli.

1 Mambo ya Nyakati 2 : 42
42 Na wana wa Kalebu, nduguye Yerameeli, walikuwa Mesha, mzaliwa wake wa kwanza, aliyekuwa babaye Zifu; na wana wa Maresha, babaye Hebroni.

Mwanzo 10 : 30
30 Makao yao yalikuwa kutoka Mesha kwa njia ya Sefari, mlima wa mashariki.

1 Mambo ya Nyakati 8 : 9
9 Akazaliwa na Hodeshi, mkewe; Yobabu, na Sibia, na Mesha, na Malkamu;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *