Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Merodaki-Baladani
2 Wafalme 20 : 12
12 ⑪ Wakati huo Merodak-baladani mwana wa Baladani, Mfalme wa Babeli, alipeleka barua na zawadi kwa Hezekia; kwa maana alipata habari kwamba Hezekia ameugua.
Isaya 39 : 1
1 Wakati huo Merodak-baladani, mwana wa Baladani, mfalme wa Babeli, alipeleka barua na zawadi kwa Hezekia; kwa maana amepata habari kwamba amekuwa mgonjwa, na kwamba amepona.
Leave a Reply