Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Meremoth
Ezra 8 : 33
33 Hata siku ya nne, hizo fedha na dhahabu na vile vyombo vilipimwa ndani ya nyumba ya Mungu, vikatiwa mikononi mwa Meremothi, mwana wa Uria, kuhani; na pamoja naye alikuwapo Eleazari, mwana wa Finehasi; na pamoja nao Yozabadi, mwana wa Yeshua, na Noadia, mwana wa Binui, Walawi;
Nehemia 3 : 4
4 Na baada yao akaijenga Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi. Na baada yao akafanyiza Meshulamu, mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli. Na baada yao akafanyiza Sadoki, mwana wa Baana.
Nehemia 3 : 21
21 Baada yake akajenga Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, sehemu nyingine, kutoka mlangoni mwa nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.
Ezra 10 : 36
36 na Wania, na Meremothi, na Eliashibu,
Nehemia 10 : 5
5 Harimu, Meremothi, Obadia;
Nehemia 12 : 3
3 Shekania, Harimu, Meremothi;
Leave a Reply