Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mchungaji
Mathayo 23 : 8 – 10
8 Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.
9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
10 Wala msiitwe viongozi; maana Kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.
Leave a Reply