Biblia inasema nini kuhusu maono โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu maono

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia maono

Yoeli 2 : 28
28 โ‘ฌ Hata[1] itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, wa kiume na wa kike, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;

1 Yohana 4 : 1
1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zipimeni hizo roho, kama zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

Ufunuo 11 : 2
2 โ‘ฒ Na behewa lililo nje ya hekalu uliache nje wala usilipime, kwa maana Mataifa wamepewa hiyo, nao wataukanyaga mji mtakatifu miezi arubaini na miwili.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *