Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Malaki
Malaki 1 : 1
1 Ufunuo wa neno la BWANA kwa Israeli kwa mkono wa Malaki
Malaki 3 : 15
15 ⑦ Na sasa twasema ya kwamba wenye kiburi ndio walio heri; naam, watendao uovu ndio wajengwao; naam, wamjaribuo Mungu ndio waponywao.
Malaki 3 : 6
6 Kwa kuwa mimi, BWANA, sina kigeugeu; ndio maana ninyi hamkuangamizwa, enyi wana wa Yakobo.
Malaki 4 : 3
3 ⑪ Nanyi mtawakanyaga waovu; maana watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu; katika siku ile niifanyayo, asema BWANA wa majeshi.
Malaki 4 : 6
6 ⑭ Naye ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, ili nisije nikaipiga dunia kwa laana.
Leave a Reply