Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mahli
Kutoka 6 : 19
19 Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi kulingana na vizazi vyao.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 19
19 ⑳ Wana wa Merari; Mali, na Mushi. Na hizi ndizo jamaa za Walawi, kulingana na koo za baba zao.
Ezra 8 : 18
18 Na kama mkono mwema wa Mungu wetu ulivyokuwa pamoja nasi, wakamletea Ishekeli,[8] mmoja wa wana wa Mali, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli; na Sherebia, pamoja na wanawe na ndugu zake, watu kumi na wanane;
1 Mambo ya Nyakati 6 : 47
47 mwana wa Mali, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
1 Mambo ya Nyakati 23 : 23
23 Wana wa Mushi; Mali, na Ederi, na Yeremothi, watu watatu.
1 Mambo ya Nyakati 24 : 30
30 ④ Na wana wa Mushi; Mali, na Ederi, na Yeremothi. Hao ndio wana wa Walawi, kwa kufuata koo za baba zao.
Leave a Reply