Biblia inasema nini kuhusu macho ya kiburi – Mistari yote ya Biblia kuhusu macho ya kiburi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia macho ya kiburi

Mithali 6 : 16 – 19
16 Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA; Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake.
17 ⑤ Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia;
18 ⑥ Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;
19 ⑦ Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.

Mithali 21 : 4
4 ⑰ Mwenye kiburi na moyo wa majivuno, Taa yake ni dhambi.

Mithali 27 : 2
2 Mwingine na akusifu wala si kinywa chako mwenyewe; Mtu mgeni wala si midomo yako wewe.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *