Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mabadiliko ya misimu
Matendo 1 : 7
7 Akawaambia, Si kazi yenu kujua nyakati wala majira, Baba aliyoyaweka katika mamlaka yake mwenyewe.
Mwanzo 8 : 22
22 Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa joto, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.
Leave a Reply