Biblia inasema nini kuhusu Ludim – Mistari yote ya Biblia kuhusu Ludim

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ludim

Mwanzo 10 : 13
13 Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

1 Mambo ya Nyakati 1 : 11
11 Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

Mwanzo 10 : 13
13 Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

Isaya 66 : 19
19 ⑦ Nami nitaweka ishara kati yao, nami nitawatuma hao waliookoka kwa mataifa, Tarshishi, na Puli, na Ludi, wavutao upinde, kwa Tubali na Yavani, visiwa vilivyo mbali; watu wasioisikia habari yangu, wala kuuona utukufu wangu; nao watahubiri utukufu wangu katika mataifa.

Yeremia 46 : 9
9 Haya! Pandeni, enyi farasi; Jihimizeni, enyi magari ya vita; Mashujaa nao na watoke nje Kushi na Puti, watumiao ngao; Nao Waludi, washikao uta na kuupinda.

Ezekieli 27 : 10
10 Watu wa Uajemi na Ludi na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita; walitungika ngao na chapeo ndani yako; wakadhihirisha uzuri wako.

Ezekieli 30 : 5
5 ⑦ Kushi, na Putu, na Ludi, na watu wote waliochanganyika, na Kubu, na wana wa nchi ya agano, wataanguka kwa upanga pamoja nao.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *