Biblia inasema nini kuhusu lozi – Mistari yote ya Biblia kuhusu lozi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia lozi

Kutoka 25 : 33 – 34
33 vikombe vitatu vilivyotengenezwa mfano wa maua ya mlozi katika tawi moja; tovu na ua; na vikombe vitatu vilivyofanywa mfano wa maua ya mlozi katika tawi la pili, tovu na ua; vivyo hivyo hayo matawi yote sita yatokayo katika kile kinara;
34 na katika hicho kinara vikombe vinne vilivyofanywa mfano wa maua ya mlozi, matovu yake, na maua yake;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *