Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Libni
Kutoka 6 : 17
17 Wana wa Gershoni; ni Libni, na Shimei, kulingana na jamaa zao.
Hesabu 3 : 18
18 Na majina ya wana wa Gershoni kwa jamaa zao ni Libni na Shimei.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 17
17 Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni; Libni, na Shimei.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 20
20 Wa Gershoni; mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Yahathi, na mwanawe huyo ni Zima;
Hesabu 3 : 21
21 Katika Gershoni walikuwa jamaa ya Walibni, na jamaa ya Washimei, hawa ndio jamaa za Wagershoni.
Hesabu 26 : 58
58 Hizi ndizo jamaa za Lawi; jamaa ya Walibni, na jamaa ya Wahebroni, na jamaa ya Wamala, na jamaa ya Wamushi jamaa ya Wakora. Na Kohathi alimzaa Amramu.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 29
29 Wana wa Merari; Mali, na mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Shimei, na mwanawe huyo ni Uza;
Leave a Reply