Biblia inasema nini kuhusu Lebona – Mistari yote ya Biblia kuhusu Lebona

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Lebona

Waamuzi 21 : 19
19 Kisha wakasema, Angalieni, iko sikukuu ya BWANA mwaka baada ya mwaka katika Shilo, mji ulio upande wa kaskazini mwa Betheli, upande wa mashariki mwa hiyo njia kuu iendeayo kutoka Betheli kwenda Shekemu, nao ni upande wa kusini mwa Lebona.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *