Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Lami
Isaya 34 : 9
9 Na vijito vyake vitageuzwa kuwa lami, na mavumbi yake yatageuzwa kuwa kiberiti, na ardhi yake itakuwa lami iwakayo.
Mwanzo 6 : 14
14 Jitengenezee safina ya mti wa mvinje; tengeneza vyumba ukaifunike kwa lami ndani na nje.
Leave a Reply