Biblia inasema nini kuhusu kuzaa – Mistari yote ya Biblia kuhusu kuzaa

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuzaa

Yohana 16 : 21
21 ⑱ Mwanamke azaapo, ana huzuni kwa kuwa saa yake imefika; lakini akiisha kuzaa mwana, haikumbuki tena ile dhiki, kwa sababu ya furaha ya kuzaliwa mtu ulimwenguni.

Yeremia 1 : 5
5 Kabla sijakuumba katika tumbo nilikujua, na kabla hujatoka tumboni, nilikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *