Biblia inasema nini kuhusu kuwasiliana na pepo – Mistari yote ya Biblia kuhusu kuwasiliana na pepo

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuwasiliana na pepo

Isaya 8 : 19
19 ③ Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong’ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?

Ufunuo 21 : 8
8 ⑥ Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *