Biblia inasema nini kuhusu kuwa na watoto wengi – Mistari yote ya Biblia kuhusu kuwa na watoto wengi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuwa na watoto wengi

Zaburi 127 : 1 – 5
1 BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wanafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye anakesha bure.
2 Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi.
3 Tazama, watoto ni urithi kutoka kwa BWANA, Uzao wa tumbo ni thawabu.
4 Kama mishale mkononi mwa shujaa, Ndivyo walivyo watoto wa ujanani.
5 Heri mtu yule Aliyelijaza podo lake hivyo. Naam, hawataona aibu Wanaposema na adui langoni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *