Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuvunjika moyo
Mathayo 5 : 3
3 Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.
Mathayo 11 : 28
28 Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Zaburi 62 : 8
8 Enyi watu, mtumainini sikuzote, Ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.
1 Yohana 5 : 3
3 Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.
Leave a Reply