Biblia inasema nini kuhusu Kutokwa na damu – Mistari yote ya Biblia kuhusu Kutokwa na damu

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kutokwa na damu

Mambo ya Walawi 15 : 19
19 Mwanamke yeyote aliye na hedhi, atatengwa kwa muda wa siku saba; na mtu yeyote atakayemgusa atakuwa najisi hadi jioni.

Mathayo 9 : 20
20 Na tazama, mwanamke aliyekuwa na ugonjwa wa kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili, alikuja kwa nyuma, akaugusa upindo wa vazi lake.

Luka 8 : 43
43 Na mwanamke mmoja, ambaye ametokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, [aliyekuwa amegharimiwa mali zake zote kwa kuwapa waganga] asipate kuponywa na mtu yeyote,

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *