Biblia inasema nini kuhusu kutokuwa upande wowote – Mistari yote ya Biblia kuhusu kutokuwa upande wowote

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kutokuwa upande wowote

Ufunuo 3 : 15 – 16
15 Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.
16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.

2 Yohana 1 : 9 – 11
9 Kila apitaye cheo, wala asidumu katika mafundisho ya Kristo, yeye hana Mungu. Yeye adumuye katika mafundisho hayo, huyo ana Baba na Mwana pia.
10 Mtu akija kwenu, naye haleti mafundisho hayo, msimkaribishe nyumbani mwenu, wala msimpe salamu.
11 Maana yeye ampaye salamu azishiriki kazi zake mbovu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *