Biblia inasema nini kuhusu kutoaminiana – Mistari yote ya Biblia kuhusu kutoaminiana

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kutoaminiana

Warumi 12 : 17 – 21
17 Msimlipe mtu ovu kwa ovu. Angalieni yaliyo mema machoni pa watu wote.
18 Ikiwezekana, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote.
19 Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.
20 Lakini, Adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivyo, utampalia makaa ya moto kichwani pake.
21 Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *