Biblia inasema nini kuhusu Kutoamini Mungu โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu Kutoamini Mungu

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kutoamini Mungu

Zaburi 14 : 1
1 Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.

Zaburi 53 : 1
1 โ‘ฐ Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Ni wafisadi, na wametenda mambo ya kuchukiza, Hakuna atendaye mema.

Ayubu 12 : 25
25 Wao hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga, Naye huwafanya kupepesuka kama mlevi.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *