Biblia inasema nini kuhusu kutiana moyo – Mistari yote ya Biblia kuhusu kutiana moyo

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kutiana moyo

1 Wathesalonike 5 : 11
11 Basi, farijianeni na kujengana kila mtu na mwenzake, hakika kama mnavyofanya.

Wakolosai 3 : 16
16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.

Warumi 15 : 13
13 Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *