Biblia inasema nini kuhusu Kushi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Kushi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kushi

Mwanzo 10 : 8
8 Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 10
10 Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.

Mwanzo 2 : 13
13 Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.

Zaburi 68 : 31
31 Masheki watakuja kutoka Misri, Kushi itahimiza kumnyoshea Mungu mikono yake.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *