Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kushi
Mwanzo 10 : 8
8 Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 10
10 Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
Mwanzo 2 : 13
13 Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.
Zaburi 68 : 31
31 Masheki watakuja kutoka Misri, Kushi itahimiza kumnyoshea Mungu mikono yake.
Leave a Reply