Biblia inasema nini kuhusu kusaidia wale wanaoumia โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu kusaidia wale wanaoumia

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kusaidia wale wanaoumia

1 Petro 4 : 19
19 โ‘ช Basi wao wateswao kwa mapenzi ya Mungu na wamwekee amana roho zao, katika kutenda mema, kama kwa Muumba mwaminifu.

Wagalatia 5 : 22
22 โ‘ฎ Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,

Isaya 53 : 3
3 Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.

Mithali 27 : 9
9 Marhamu na manukato huufurahisha moyo; Kadhalika utamu wa rafiki ya mtu utokao katika kusudi la moyo wake.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *