Biblia inasema nini kuhusu Kupika – Mistari yote ya Biblia kuhusu Kupika

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kupika

Kumbukumbu la Torati 14 : 21
21 Msile nyamafu yoyote; waweza kumpa mgeni aliye ndani ya malango yako, ili apate kula; au kumliza mtu wa mataifa; kwa kuwa wewe u taifa takatifu kwa BWANA, Mungu wako. Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mamaye.

Ezekieli 24 : 10
10 Tia kuni nyingi, uchochee moto, itokose nyama sana, fanyiza mchuzi mzito, mifupa ikateketee.

Hosea 7 : 8
8 Efraimu ajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate usiogeuzwa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *