Biblia inasema nini kuhusu Kumin – Mistari yote ya Biblia kuhusu Kumin

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kumin

Isaya 28 : 25
25 Akiisha kuulainisha uso wa nchi yake, je! Hamwagi huku na huko kunde, na kutupatupa jira, na kuitia ngano safu safu, na shayiri mahali pake palipochaguliwa, na kusemethi karibu na mipaka yake?

Isaya 28 : 27
27 Kwa maana kunde zile hazipurwi kwa chombo kikali, wala gurudumu la gari halipitishwi huku na huko juu ya jira ile, bali kunde zile hupurwa kwa fimbo, na jira ile kwa ufito.

Mathayo 23 : 23
23 ⑯ Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka za mnanaa, bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu ya sheria, yaani, adili, na rehema, na imani; hayo imewapasa kuyafanya, wala yale mengine msiyaache.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *