Biblia inasema nini kuhusu kukata miti – Mistari yote ya Biblia kuhusu kukata miti

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kukata miti

Yeremia 10 : 2 – 4
2 ⑳ BWANA asema hivi, Msijifunze njia ya mataifa, wala msishangae kwa sababu ya ishara za mbinguni; maana mataifa hushangaa kwa sababu ya ishara hizo.
3 Maana desturi za watu hao ni ubatili, maana mtu mmoja hukata mti mwituni, kazi ya mikono ya fundi na shoka.
4 Huupamba kwa fedha na dhahabu; huukaza kwa misumari na nyundo, usitikisike.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *