Biblia inasema nini kuhusu kukata mikono – Mistari yote ya Biblia kuhusu kukata mikono

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kukata mikono

Mathayo 18 : 8
8 Basi mkono wako au mguu wako ukikukosesha, ukate ukautupe mbali nawe; ni afadhali kuingia katika uzima ukiwa umepungukiwa na mkono au mguu, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele.

Mathayo 5 : 29
29 ⑰ Jicho lako la kulia likikukosesha, ling’oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee kuliko mwili wako wote utupwe katika Jehanamu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *