Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kujisifu
Waefeso 2 : 8 – 9
8 ③ Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu;
9 ④ wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.
Zaburi 44 : 8
8 Tumejisifia Mungu mchana kutwa, Na jina lako tutalishukuru milele.
Leave a Reply