Biblia inasema nini kuhusu kujisifu – Mistari yote ya Biblia kuhusu kujisifu

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kujisifu

Waefeso 2 : 8 – 9
8 ③ Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu;
9 ④ wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.

Zaburi 44 : 8
8 Tumejisifia Mungu mchana kutwa, Na jina lako tutalishukuru milele.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *