Biblia inasema nini kuhusu kugawanya kanisa โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu kugawanya kanisa

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kugawanya kanisa

Tito 3 : 10 โ€“ 11
10 โ‘ค Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, tengana naye;
11 โ‘ฅ maana unajua ya kuwa mtu kama huyo ni mpotovu na mtenda dhambi, naye amejihukumia hatia yeye mwenyewe.

2 Timotheo 4 : 3
3 Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajikusanyia waalimu wengi, watakaowaambia yale tu masikio yao yanataka kusikia;

1 Wathesalonike 5 : 13
13 mkawastahi sana katika upendo, kwa ajili ya kazi zao. Iweni na amani ninyi kwa ninyi.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *