Biblia inasema nini kuhusu kuachwa โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu kuachwa

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuachwa

Zaburi 37 : 27 โ€“ 29
27 Jiepushe na uovu, utende mema, Na kukaa hata milele.
28 Kwa kuwa BWANA hupenda haki, Wala hawaachi watauwa wake. Wao hulindwa milele, Bali mzawa wa wasio haki ataharibiwa.
29 Wenye haki watairithi nchi, Nao watakaa humo milele.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *