Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuachwa
Zaburi 37 : 27 โ 29
27 Jiepushe na uovu, utende mema, Na kukaa hata milele.
28 Kwa kuwa BWANA hupenda haki, Wala hawaachi watauwa wake. Wao hulindwa milele, Bali mzawa wa wasio haki ataharibiwa.
29 Wenye haki watairithi nchi, Nao watakaa humo milele.
Leave a Reply