Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kimya
Zaburi 107 : 29
29 Huituliza dhoruba, ikawa shwari, Mawimbi yake yakanyamaza.
Yoshua 6 : 10
10 Yoshua akawaamuru watu, akasema Msipige kelele, wala sauti zenu zisisikiwe, wala neno lolote lisitoke kinywani mwenu, hadi siku ile nitakapowaamuru kupiga kelele, ndipo mtakapopiga kelele.
Leave a Reply