Biblia inasema nini kuhusu kazi za nyumbani โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu kazi za nyumbani

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kazi za nyumbani

Waefeso 6 : 1 โ€“ 3
1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.
2 โ‘  Waheshimu baba yako na mama yako; hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,
3 Upate heri na kuishi siku nyingi katika dunia.

Wakolosai 3 : 20
20 Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana.

Kutoka 20 : 12
12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.

Tito 2 : 3 โ€“ 5
3 Vivyo hivyo na wazee wa kike wawe na mwenendo wa utakatifu; wasiwe wasingiziaji, wasiwe wenye kutumia mvinyo nyingi, bali wanaofundisha yaliyo mema;
4 ili wawatie wanawake vijana akili, wawapende waume zao, na kuwapenda watoto wao;
5 na kuwa wenye kiasi, kuwa safi, kufanya kazi nyumbani mwao, kuwa wema, kuwatii waume zao wenyewe; ili neno la Mungu lisitukanwe.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *