Biblia inasema nini kuhusu Karkor – Mistari yote ya Biblia kuhusu Karkor

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Karkor

Waamuzi 8 : 10
10 Basi hao kina Zebu na Salmuna walikuwa katika Karkori, na majeshi yao walikuwa pamoja nao, watu kama elfu kumi na tano hesabu yao, ni wote waliobaki wa hilo jeshi lote la hao wana wa mashariki; kwa sababu walianguka wapiganaji elfu mia moja na ishirini waliokuwa wakitumia upanga.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *