Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Karibu
1 Mambo ya Nyakati 3 : 23
23 Na wana wa Nearia; Elioenai, na Hezekia, na Azrikamu, watu watatu.
1 Mambo ya Nyakati 4 : 42
42 Na baadhi yao, wana wa Simeoni wapatao watu mia tano, wakaenda mpaka mlima Seiri, na majemadari wao walikuwa Pelatia, na Nearia, na Refaya, na Uzieli, wana wa Ishi.
Leave a Reply