Biblia inasema nini kuhusu Kana – Mistari yote ya Biblia kuhusu Kana

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kana

Yohana 2 : 11
11 ⑱ Mwanzo huo wa ishara Yesu aliufanya huko Kana ya Galilaya, akaudhihirisha utukufu wake, nao wanafunzi wake wakamwamini.

Yohana 4 : 47
47 Huyo aliposikia ya kwamba Yesu amekuja kutoka Yudea mpaka Galilaya, alimwendea, akamsihi ashuke na kumponya mwanawe; kwa maana alikuwa karibu kufa.

Yohana 21 : 2
2 ⑦ Simoni Petro, na Tomaso aitwaye Pacha, na Nathanaeli wa Kana ya Galilaya, na wana wa Zebedayo, na wengine wawili wa wanafunzi wake, walikuwapo pamoja.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *