Biblia inasema nini kuhusu Kabul – Mistari yote ya Biblia kuhusu Kabul

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kabul

Yoshua 19 : 27
27 ⑭ kisha ukazunguka kuelekea maawio ya jua mpaka Beth-dagoni, nao ukafikia hadi Zabuloni, tena mpaka bonde la Iftaeli upande wa kaskazini hadi Bethemeki na Neyeli; kisha ukatokea hadi Kabuli upande wa kushoto;

1 Wafalme 9 : 13
13 Akasema, Miji gani hii uliyonipa, ndugu yangu? Akaiita nchi ya Kabuli,[18] hata leo.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *