Biblia inasema nini kuhusu Justus – Mistari yote ya Biblia kuhusu Justus

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Justus

Matendo 1 : 23
23 Wakaweka wawili, Yusufu, aitwaye Barsaba, aliyekuwa na jina la pili Yusto, na Mathiya.

Matendo 18 : 7
7 Akaondoka huko akaingia katika nyumba ya mtu mmoja jina lake Tito Yusto, mcha Mungu, ambaye nyumba yake ilikuwa mpaka mmoja na sinagogi.

Wakolosai 4 : 11
11 Na Yesu[1] aitwaye Yusto awasalimu. Hao tu ndio watu wa tohara miongoni mwa wale watendao kazi pamoja nami kwa ajili ya ufalme wa Mungu; nao wamekuwa msaada kwangu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *