Biblia inasema nini kuhusu Julius – Mistari yote ya Biblia kuhusu Julius

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Julius

Matendo 27 : 1
1 Basi ilipoamriwa tuabiri hadi Italia, wakamtia Paulo na wafungwa wengine katika mikono ya ofisa mmoja, jina lake Yulio, wa kikosi cha Augusto.

Matendo 27 : 3
3 Siku iliyofuata tukawasili Sidoni; Yulio akamfadhili sana Paulo akampa ruhusa kwenda kwa rafiki zake, apate kutunzwa.

Matendo 27 : 43
43 Bali ofisa, akitaka kumponya Paulo, akawazuia, wasifanye kama walivyokusudia, akawaamuru wale wawezao kuogelea wajitupe kwanza baharini, wafike katika nchi kavu;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *