Biblia inasema nini kuhusu Jose – Mistari yote ya Biblia kuhusu Jose

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Jose

Mathayo 13 : 55
55 Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?

Mathayo 27 : 56
56 ⑯ Miongoni mwao alikuwamo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo na Yusufu, na mama yao wana wa Zebedayo.

Marko 6 : 3
3 Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? Na dada zake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.

Marko 15 : 40
40 Palikuwako na wanawake wakitazama kwa mbali; miongoni mwao alikuwemo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo mdogo na Yose, na Salome;

Marko 15 : 47
47 Nao Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yose wakapatazama mahali alipowekwa.

Matendo 4 : 36
36 ⑯ Na Yusufu, aliyeitwa na mitume Barnaba, (maana yake, Mwana wa faraja), Mlawi, asili yake ni mtu wa Kipro,

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *