Biblia inasema nini kuhusu Joiada – Mistari yote ya Biblia kuhusu Joiada

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Joiada

Nehemia 12 : 11
11 Yoyada akamzaa Yohana, Yohana akamzaa Yadua.

Nehemia 12 : 22
22 Walawi siku za Eliashibu, na Yoyada, na Yohana, na Yadua, wameorodheshwa wakuu wa mbari za mababa; tena na makuhani; hata siku za kumiliki kwake Dario, Mwajemi.

Nehemia 13 : 28
28 Na mwana mmoja wa Yoyada, mwana wa Eliashibu, kuhani mkuu, alikuwa mkwewe Sanbalati, Mhoroni, basi nikamfukuza kwangu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *